Jesus said to her, I am the resurrection and the Life: he that believes in me, though he were dead, yet shall he live: John 11:25
Then Jesus said, "Did i not tell you that if you that if you believe, you will see the glory of God? John 11:40
...Jesus cried with in a loud voice, "Lazarus, come forth" And he that was dead came forth, bound hand and foot with grave-clothes; and his face was bound with a napkin. Jesus said unto them, loose him, and let him go. John 11:43-44
Hallelujah,
Where ever you are, Who ever you may be, What ever you require no matter the situation or however long it may have been, He has said in Jeremiah 32:27 "Behold, I am the lord, the God of all flesh: Is there any thing too hard for me?" Call his name by faith over any situation and receive your miracle!
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Mwenye nguvu kama wewe bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Mwenye enzi kama wewe bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Tunajua hakuna mwingine, kama wewe bwana,
Hakuna mwingine, kama wewe bwana,
Tunajua hakuna mwingine, kama wewe bwana,
Hakuna mwingine, kama wewe bwana,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Atupendaye kama wewe bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Anaye tujali kama wewe, bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Mwenye enzi kama wewe bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Mtakatifu kama wewe, nani kama wewe,
Mwenye enzi kama wewe bwana, nani kama wewe,
Ni nani kama wewe bwana, nani kama wewe,
Tunajua hakuna mwingine, kama wewe bwana,
Hakuna mwingine, kama wewe bwana,
Tunajua hakuna mwingine, kama wewe bwana,
Hakuna mwingine, kama wewe bwana,
Hakuna mwingine, kama wewe bwana,
Hakuna mwingine, kama wewe bwana,
Hakuna mwingine, kama wewe bwana,
Chorus
One more time, one more time, one more time, Lord i need your touch!
One more time (hallelujah), one more time (one more time), one more time, Lord i need your touch! (say it again)
One more time (i need you lord), one more time, one more time, Lord i need your touch!
(Instrumental)
Verse 1
Everyday, every night, every hour, how i need your touch,
And everywhere, every place i go, Abba Father, how i need your touch,
Chorus
One more time (just one more time), one more time (one more time), one more time, Lord i need your touch! (tell him one more time)
One more time (one more time), one more time (one more time), one more time, Lord i need your touch!
(Instrumental)
Verse2
I need your peace, i need your love, just one more time how i need you lord,
Jehovah Shalom, Jehovah shama, Jehovah Jaire, how i need you now, (one more time)
Chorus
One more time, one more time, one more time (hallelujah), Lord i need your touch (sing again)
One more time (hallelujah), one more time (just one more), one more time, Lord i need your touch!
(Instrumental)
Verse 3
You are all i want; and all i desire, i want to be holy, how i need you now,
Cleanse me father, and wash my stain, make me whole, Lord i need you now (sing ye-a-ah)
Chorus
One more time, one more time (hallelujah), one more time, Lord i need your touch! (sing again)
One more time, one more time (just like Samson i pray), one more time, Lord i need your touch!
How i need you, now!!
Verse 4
Everyday, every night, every hour, how i need you God,
Every place, every where i go, Abba father how i need your touch! (one more time)
Chorus (till fade)
One more time, one more time (one more time), one more time, Lord i need your touch! (tell him once more)
One more time, one more time (hallelujah), one more time (one more time), Lord i need your touch!
One more time, one more time (hallelujah), one more time, Lord i need your touch! Touch! Touch!
Neema yako, ya ajabu, imeniokoa, a-a nili-potea ukanipata,sasa nimeona,
o-o neema yako ya ajabu (u-u-u), imeniokoa,
nilipotea ukanipata (u-u-u), sasa ninaona,
Chorus
o-o bwana nina shukuru, (ninashukuru), ninashukuru (ninashukuru), ninashukuru kwa
ne-ema yako ya ajabu!
o-o baba nina shukuru, (ninashukuru), ninashukuru (ninashukuru), ninashukuru kwa
ne-ema yako, ya ajabu!
Verse 2
Neema hiyo imenitosha, imenisamehe, baba,
Udha-hifu wangu umeufanya nguvu, milele na sifu,
Neema hiyo imenitosha, imenisamehe, Yahweh,
Udha-hifu wangu umeufanya nguvu, milele nasifu,
Chorus
o-o baba nina shukuru, (ninashukuru), ninashukuru (ninashukuru), ninashukuru kwa
ne-ema yako, ya ajabu!
e-e baba nina shukuru, (ninashukuru), ninashukuru (ninashukuru), ninashukuru kwa
ne-ema yako, (hallelujah) ya ajabu!
Verse 3
Ni kwa ne-e-ema, Ni kwa ne-e-ema, Ni kwa ne-e-ema, mi naishi e e!
Ni kwa ne-e-ema, Ni kwa ne-e-ema (naishi), Ni kwa ne-e-ema, (halleluyah)
nita shuhudia neema yako, Yahweh! Kama si wewe Yesu, tungekua wapi sote?
Jehovah Shalom (a a a),Jehovah Nisi, Jehovah Mungu, Jehovah Rohi! Ubarikiwe!
Hallelujah! Hakuna kama wewe Yesu! Asante kwa Neema! Nita shukuru milele milele! Milele! milele! baba!
Chorus
bwana nina shukuru, (ninashukuru), ninashukuru (ninashukuru), ninashukuru kwa
ne-ema (o-o) yako ya ajabu!
o-o baba (nina sema asante)nina shukuru, (ninashukuru), ninashukuru (ninashukuru), ninashukuru kwa ne-ema yako, ya ajabu!
e-ebwana nina shukuru, (ninashukuru), ninashukuru, ninashukuru baba (ninashukuru), ninashukuru kwa ne-ema yako ya ajabu!
e-e baba natoa asante, nasema asante Yahweh (ninashukuru), ninashukuru (ninashukuru), ninashukuru kwa ne-ema yako ya ajabu!
(Asante kwa neema, yesu nashukuru, kwa neema!)
(Asante kwa neema, kama siwewe tuge imba, tuimbe nini!)
CHORUS LYRICS: Mambo sawa mambo sawa sawa Mungu Yuko enzini tuko sawa Mambo sawa mambo sawa sawa Mungu Yuko enzini tuko sawa
VERSE 1 LYRICS: I hear the voice of a mama cry nisaidie I hear the voice of a baby cry nani atanisaidia naona wingu kama mkono wa mtu naona wingu, itanyesha tena itanyesha tena
CHORUS LYRICS: Mambo sawa mambo sawa sawa Mungu Yuko enzini tuko sawa Mambo sawa mambo sawa sawa Mungu Yuko enzini tuko sawa
VERSE 2 LYRICS: Nalia hee... nalia oooh... kama ni uhai, naona mimi nitangulie niende nyumbani, hii njaa inanimaliza watoto wangu, mume wangu amani yangu yote imeisha lakini najua yote yako sawa
CHORUS LYRICS: Mambo sawa mambo sawa sawa Mungu Yuko enzini tuko sawa Mambo sawa mambo sawa sawa Mungu Yuko enzini tuko sawa
VERSE 3 LYRICS: Mambo sawa, yote sawa tuko sawa, sote sawa Mambo sawa, yote sawa tuko sawa, sote sawa
CHORUS LYRICS: Mambo sawa mambo sawa sawa Mungu Yuko enzini tuko sawa Mambo sawa mambo sawa sawa Mungu Yuko enzini tuko sawa
Verse 1 Bwana Yesu, Bwana Yesu, Kimbilio langu, ni wewe Baba Tumaini langu, liko kwako Yaweh, Mimi sina uwezo, sina Baba mwingine ila wewe Mimi sina uwezo, sina Baba mwingine ila wewe
Chorus Wewe ndiwe Baba yangu, msaada wangu wa karibu Wewe ndiwe Baba yangu, msaada wangu wa karibu
Verse 2 Haleluya, Haleluya Baba Oh ulinifia mwokozi wangu, dhambi zangu zote ukaziosha Sijapata mwingine, dunia yote kama wewe yahweh Sijapata mwingine, sijapata mwingine kama wewe Yahweh
Chorus Wewe ndiwe Baba yangu, msaada wangu wa karibu Wewe ndiwe Baba yangu, msaada wangu wa karibu
Verse 3 Nakuinua, nakuinua Milele milele,nitakuimbia Kwa yale umenitendea Baba nakusifu Milele Milele, milele daima Bwana wangu Milele na milele, milele daima Bwana wangu we
Chorus Wewe ndiwe Baba yangu, msaada wangu wa karibu Wewe ndiwe Baba yangu, msaada wangu wa karibu
Verse 4 Hakuna hakuna nasema (Hakuna kama wewe) Mbinguni na duniani tuimbe (Hakuna kama wewe) Aliye filia dhambi zangu nasema (Hakuna kama wewe) Mponyaji wangu ndiye Jehova rafa (Hakuna kama wewe) Hakuna hakuna naimba (Hakuna kama wewe) Hakuna hakuna nasema (Hakuna kama wewe) Ulimwengu wote tuimbe (Hakuna kama wewe) Dunia yote tuseme tusemee (Hakuna kama wewe) Nasema hakuna hakuna hakuna (Hakuna kama wewe) Oh hakuna hakuna nasema (Hakuna kama wewe) Oh hakuna hakuna naimba (Hakuna kama wewe) Hakuna hakuna tuimbe (Hakuna kama wewe) hakuna hakuna nasema (Hakuna kama wewe) Hakuna hakuna naimba (Hakuna kama wewe)