Monday, 14 November 2016

MARIA LYRICS BY BAHATI



Song : Maria 


Artist : Bahati


Eastlands Most Beloved


EMB Records/Teddy B

EMB FILMS


 LYRICS 

paaparaparia, ilikuwa ndo mchezo bara kanisa sunday,
paapara parira, tulisali pamoja bara shule ni monday x2 

nakumbuka ulipenda chakacha, na mimi nilipenda bongo,
ulimsikiza farida , na mimi ni rose muhando x2 

ndoto yako ikawa kwenda ng'ambo 
mmmh nami yangu ikawa kwenye gospel mmmh x2 

maria eh oh umebadilika, 
jana si kama leo ,umebadilika,x2 

maria aah paaparaparia, 
ilikuwa ndo mchezo bara kanisa sunday,

paapara parira, tulisali pamoja bara shule ni monday x2

kutoka kenya dar salama , 
nimekusaka tanzania , 
kwetu pwani hadi kampala , 
uganda nikaingia, 
bila budi unatesa na urembo, 
mengi pia sigara mateso
bila budi unatesa na urembo
umesahau kuishi malengo

Maria ehh ohh
Umebadilika
jana si kama leo, umebadilika X2
Maria aah

Kumbuka ndoto zetu tukiwa mathare
tukiwa gheto aah eeh Eastlando
nanana eeh rudu nyumbani eh
kwa Yesu nyumbani eeh

No comments:

Post a Comment