Monday, 2 January 2017

HUYU YESU LYRICS BY MERCY MASIKA AND ANGEL BENERD

SONG :HUYU YESU

ARTIST :MERCY MASIKA & ANGEL BENERD


 [Verse 1]
Huyu yesu, si sanamu ,si mwanadamu adanganye eh
Ahadi zake, zote kweli na amina,nimemwona eh
Akisema ndio, hakuna wa kumpinga
Akikubariki, hakuna wa kunyang'anya
Akikuahidi, kwa wakati atimiza
Anavyokuita, ndivyo ulivyo

[Refrain]
Huyu yesu Huyu yesu
Si hadithi Mwambie x2

[Verse 2]
Umetangaziwa nini
Umetabiriwa nini
Maishani mwako, mwambie
Unaumizwa na nini
Je unahofu gani
Maishani mwako
Mwambie


Akisema ndio, hakuna wa kumpinga

Akikubariki, hakuna wa kunyang'anya

Akikuahidi, kwa wakati atimiza

Anavyokuita, ndivyo ulivyo


[Refrain]

Huyu yesu Huyu yesu
Si hadithi Mwambie x2


 [Refrain]

Huyu yesu Huyu yesu
Si hadithi Mwambie x6

1 comment: